Tuesday, September 13, 2011

SAIDIA NDUGU ZETU WA ZANZIBAR….

Baada ya Ijumaa ya tarehe 10 September 2011,meli ya M.V. Spice Islander,inayofanya safari kati ya Dar es Salaam,Zanzibar,Pemba na Tanga,ilizama baharini ikielekea Pemba na ilikua na abiria zaidi ya 610na zaidi ya 200 kufariki na wengine 500 kuokolewa wakiwa hai
Imeanzishwa taasisi ya Saidia Zanzibar www.saidiazanzibar.org na ni emergency fundraising website,yenye lengo la kuwahamasisha wasamaria wema popote walipo,kuchangia kwa hali na mali wahanga na familia zilizopatwa na janga hili na taasisi hii itasimamiwa na Zanzibar Association of Tourism Investors www.zati.org,registered NGO,ambayo itaratibu michango kupitia ofisi yao iliyopo Cine Afrique Malindi,Stone Town- Zanzib
Kwa maelezo zaidi watembelee kwa maelezo zaidi saidia@saidiazanzibar.org

No comments: