Wednesday, October 05, 2011

DUUUUH MIMBA YA BEYONCE YAMCHUKIA JAY - Z


  
JAY Z vs BEYONCE
Baby Mama mtarajiwa na mke wa Jay-Z,Beyonce ameshaanza 'vituko vya ujauzito' na kufunguka kuwa kwa sasa haipendi kabisa harufu ya husband wake,hip-hopper....Jay-Z
Beyonce alifunguka zaidi alipokua anaitangaza perfume yake ya Pulse nchini Canada,kuwa anamzimia sana Jay-Z,na anapenda harufu ya kila kitu ila kwa sasa haizimii harufu yoyote toka kwa Jigga na kwa sasa haijajulikana mtoto wa 'B' na Hova atakua ni wa jinsia gani na wote wamekua wakiagizia viwalo vya mtoto vya jinsia tofauti....