Tuesday, September 13, 2011

MWISHO AFANYA KWELI KWA MERYL MJUMZITO …


 Baada ya kuvalishana pete za uchumba kwenye jumbla la Big Brother Africa, kwa sasa kuna rumours kuwa aliyekuwa mshiriki wa Big Brother Africa,Meryl Shikwambane toka Namibia kwa sasa ni mjamzito na Mwisho Mampamba ndiye 'baba mtarajiwa'
ENGAGEMENT PARTY NDANI YA BBA HOUSE....SEPT 25,2010
Mwisho na Meryl watakua wamefuata nyayo za washiriki wengine wa Big Brother Africa,Quinn na Jennifer ambao wanategemea kupata mtoto karibuni,Kevin na Liz ambao walioana mwaka jana na kubarikiwa mtoto wao wa kwanza Malaika

No comments: