Thursday, September 08, 2011

KIDUM,REDSAN NA HABID WATOA VIDEOZ MPYA

HABIDA MALOONEY - KENYAN ARTIST 
Beautiful singer Habida toka Kenya,ame release video yake mpya iitwayo My Reason featuring Canibal toka Momba.Video imegongwa na Producer Robert Kamanzi aka R-Kay,na location ya video hiyo imefanyika jijini Mombasa kwenye beach kali na directer Emmanuel Jambo amehusika
SWABRI MOHAMED AKA REDSAN - KENYAN DANCEHALL ARTIST
King of dancehall wa East Africa,Swabri Mohammed aka Redsan toka Kenya amedondosha kichupa cha Brand new video yake inayokwenda kwa jina la Ila Wewe ambayo iko kwenye album yake ya versatility,na humu ndani ameonesha kipaji cha kuimba zaidi ya dancehall skills alizonazo
JEAN PIERRE NIMBONA AKA KIDUM - BURUNDI/KENYAN MUSICIAN
Msanii bora wa mwaka wa Tuzo za East Africa Music Awards-2011, Jean Pierre Nimbona aka Kidum naye ameachia video ya ngoma yake iliyopata sana airtime,Mulika Mwizi featuring Sanaipei Tande aka Sana ambayo ni single ya kwanza ya kwenye album yake ya 5.Producer Robert Kamanzi aka R-Kay amehusika na production nzima ya video hiyo kali

No comments: