Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline
Wolper wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika
uwanja wa taifa, Dar-es-salaam kwenye tamasha la usiku wa matumaini
shosti
tupigane za kwenye mabega tu mwayaa si unajua sura zetu tena mauzo
heheheheeeeeee
Wema
akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla.
No comments:
Post a Comment