Monday, July 09, 2012

WEMA SEPETU Vs WOLPER WAZICHAPA



 Waigizaji mahiri wa filamu nchini, Wema Sepetu na Jacqueline Wolper wametoka suruhu katika mpambano wao wa raundi 2 uliofanyika katika uwanja wa taifa, Dar-es-salaam kwenye tamasha la usiku wa matumaini

shosti tupigane za kwenye mabega tu mwayaa si unajua sura zetu tena mauzo heheheheeeeeee

Wema akipata mawaidha kutoka kwa mwalimu wake Rashid Matumla.

No comments: