Wasanii takribani woote wanaowakilisha mkoa wa Kigoma wameachia
wimbo wa pamoja unaoitwa LEKA DUTIGITE maana yake ni acha tijidai,
imetengenezwa na Tuddi Thomas na ndani yake kuna Diamind, Mwasiti, Ommy
dimpoz, Linex, Baba Levo, Recho, Peter Msechu, Banana, Makomando na
wengineo. sikiliza hapa chini
No comments:
Post a Comment