Mh.
Mnyika alipokuwa akiwasili Mahakamani leo asubuhi
Mnyika
akipongezwa na Baadhi ya jamma zake waliofika Mahakamani hapo
Mbunge
wa jimbo la ubungo kwa Tiketi ya chama
cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA),Mh. John Mnyika
akiwa amebebwa juu juu na wanachama wa chama hicho pamoja na
mashabiki wake nje ya Mahakama kuu kanda
ya Dar es Salaam leo mara baada ya kushinda
kesi yake iliyokuwa ikimkabili kuhusiana na ushindi kwenye uchaguzi mkuu
wa mwaka 2010
Wanachama
wa chadema pamoja na washabiki wa Mbunge wa jimbo la Ubungo wa kishanglia
ushindi wa kesi ya Mbunge wao,Mh. John
Mnyika.
Askari
Polisi wakihakikisha usalama upo wa
kutosha katika njia walizokuwa wakipita
wapenzi wa chadema kusherehekea ushindi wa Mbunge wao.
No comments:
Post a Comment