Tuesday, May 22, 2012

HARUNA MOSHI BOBAN NA MUSSA MGOSI WAWAKILISHA WACHEZAJI WA KIBONGO KWENYE MSIBA WA MAFISANGO

 
Leo hii yamefanyika mazishi ya mchezaji wa Simba Patrick Mafisango huko nchini Kongo - katika mazishi hayo wachezaji Haruna Moshi Boban wa Simba pamoja na Mussa Hassan Mgosi walikuwepo na kushiriki kikamilifu katika zoezi. Hapa juu kwenye picha Mussa Mgosi na Boban wakiwa na watoto wa marehemu Mafisango.
 
                                     Boban na Mgosi wakiongea na baadhi ya wafiwa.
     

 
Hapa ndipo ulipo msiba wa Mafisango kwenye uwanja ambao marehemu alianza kucheza soka alipokuwa mdogo.

No comments: