Leo hii yamefanyika mazishi ya mchezaji wa Simba Patrick Mafisango
huko nchini Kongo - katika mazishi hayo wachezaji Haruna Moshi Boban wa Simba
pamoja na Mussa Hassan Mgosi walikuwepo na kushiriki kikamilifu katika zoezi.
Hapa juu kwenye picha Mussa Mgosi na Boban wakiwa na watoto wa marehemu
Mafisango.
Boban na Mgosi wakiongea na baadhi ya wafiwa.
Hapa ndipo ulipo msiba wa Mafisango kwenye uwanja ambao marehemu
alianza kucheza soka alipokuwa mdogo.
No comments:
Post a Comment