Sunday, March 11, 2012

RICK ROSS.....AZINGUA NIGERIA...AKOMALIWA!


WILLIAM LEONARD ROBERTS II - RICK ROSS
Serikali ya Nigeria ina mpango wa kumshitaki Rapper toka Marekani,William Leonard Roberts II aka Rick Ross baada ya kushindwa kutia maguu na kupiga show kwenyetamasha maarufu la The Calabar Christmas Festival pande za Cross River State
Imefunguliwa kuwa Rick Ross alishakula mkwanja wake na haijajulikana sababu ya kutokwenda kupiga show serikali ya Cross River State kwa sasa imekodi mwanasheria toka Marekani kwa ajili ya kumfungulia mashitaka Rick Ross

No comments: