Sunday, March 11, 2012

KOBE BRYANT.....AICHAKACHUA NDOA YAKE...!


KOBE BEAN BRYANT
BasketBaller Kobe Bryant toka Los Angeles Lakers imefunguliwa kuwa ameichakachua ndoa yake kwa kutembea nje ya ndoa
KOBE & VANESSA BRYANT
Inadaiwa kuwa NBA star Kobe Bryant amemchakachua wife wake Vanessa Bryant aliyezaa nae watoto 2,kwa kutembea na wanawake wapatao 105 katika kipindi cha miaka 10 ya ndoa yao
....KOBE BRYANT FAMILY....
Vanessa alimkodi mtu kumpeleleza Kobe Bryant na inasemekana ameshakula uroda na rafiki wa Kim Kardashian,Carla DiBello,Playboy model Jessica Burciaga na actress Sanaa Lathan na kwa sasa Vanessa amewasilisha madai ya talaka na kwa mujibu wa sheria za California, mali zilizochumwa wakati wa ndoa hugawiwa nusu kwa nusu na utajiri wa Kobe Bryant unakadiriwa kufikia $ milioni 200

No comments: