Thursday, September 08, 2011

KANYE WEST APIGA SHOW NA D’BANJ LONDON !


Rapper Kanye West alifanya surprise appearance kwenye Mo'Hits Koko Concert ambayo artist wake D'Banj alikua anapiga show iliyofanyika jijini London nchini Uingereza
D'banj,ambaye amepata shavu kwenye label ya Kanye West ya G.O.O.D Music,alifanya surprise introduction on stage,na Kanye kupiga ngoma yake ya All Of The Lights na kufanya fans waliokuja kwenye concert hiyo wapagawe mbayaaa na baadaye D'banj na Producer wake Don Jazzy walifunguka kwenye mtandao wa Tweeter kwa kumshuku Kanye West kwa support.....

No comments: