Tuesday, September 13, 2011

JUSTIN BIEBER ATANGAZA NDOA

JUSTIN DREW BIEBER
Justine Bieber amefunguka kuwa anataka kufunga ndoa na kuwa na watoto katika kipindi cha miaka 10 ijayo.Kwa sasa BiebStar ana miaka 17 na akiwa na miaka 25 au 26, anataka awe na familia na kudai kuwa anataka afanye mambo yake kwenye kipindi hicho cha ujana coz anataka awe baba kijana mwenye familia na uhuru wa kufanya vitu atakavyo kama movie nk,Lakini hajafunguka kama atamuoa demu wake Selena Gomez au vp....
JUSTIN BIEBER NA GAL-FRIEND WAKE,SELENA GOMEZ

No comments: