Thursday, September 29, 2011

JCB AACHIA SINGLE MPYA NA HARD MAD

 
JACOB MAKALLA - JCB
Member toka Kundi la Watengwa la Kijenge ya Juu jijini A-Town,Jacob Makalla aka JCB amedondosha ngoma yake mpya kitaani inakayokwenda kwa jina la Dunia Kizani,akiwa na mkali wa Dancehall TZ,Hard Mad na mkono wa Producer Lamar toka FishCrab ndio umehusika na unyongaji na mishe mishe zote na track hiyo

No comments: