Friday, September 16, 2011

ALIBUM YA BEBE COOL KUINGIA SOKONI OCTOBER…!

 
MOSES BIDANDI SSALI - BEBE COOL
Mwaka jana,Multi-talented Reggae,Ragga,Dancehall na Afro beat singer,Moses Ssali aka Bebe Cool alipiga show ya kutakata kwenye concert Big Size pande za Kati Kati Restaurant na kupata tuzo ya Pam awards artist of the year
Mwaka 2008 na 2009 Bebe Cool ali-launch tarehe sawa na hasimu wake Bobi Wine,lakini mwaka huu Bebe Cool ameamua kufanya uzinduzi wa album yake mpya ya Minzani,Ijumaa ya October 7,2011 'kishua zaidi' na atapiga show pande za Garden City Roof Top na kuendelea na showz 3 nyingine October 8 pande za Satelite beach Mukono,na October 9 pande za Maria Flo,Masaka
Bebe Cool ameshaachia hits songs Minzani,Sanyu Lya Mutima Gwange,Tumekuja Ku Party featuring Fidempa,Ceaze and Seakle featuring Rema,Dogo Lyo Featuring Tuff B kwenye concert zake hizo atapigwa tough na artist toka Gagamel kama Tuff B,Tickie Tah,Mr Woods na wengine kiba

No comments: